Taarifa Mpya kutoka simba Jioni hii - EDUSPORTSTZ

Latest

Taarifa Mpya kutoka simba Jioni hii

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

Klabu ya Simba imetoa mapumziko kwa wachezaji baada ya mechi za ligi kusogezwa mbele


Simba ilipaswa kucheza na Polisi Tanzania siku ya Jumatano May 24 lakini mchezo huo sasa utapigwa Juni 06 wakati mchezo wa kuhitimisha msimu dhidi ya Coastal Union utapigwa Juni 09


Taarifa iliyotolewa na Simba imebainisha kuwa wachezaji watarejea mazoezini May 24 kwa ajili ya maandalizi ya mechi hizo ambazo ni za kukamilisha ratiba tu kwa Simba


Simba imemaliza kwenye nafasi ya pili katika msimamo wa ligi ikiwa imejihakikishia tiketi ya kushiriki michuano ya ligi ya mabingwa barani Afrika msimu ujao

 



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz