Taarifa mpya kutoka bodi ya ligi ni kuhusu viporo vya Yanga - EDUSPORTSTZ

Latest

Taarifa mpya kutoka bodi ya ligi ni kuhusu viporo vya Yanga

Ofa ya Bando la Internet wiki BURE Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

 Bodi ya Ligi imeupangia tarehe mchezo wa ligi kuu ya NBC kati ya Yanga dhidi ya Dodoma Jiji ambao utapigwa baada ya mchezo dhidi ya Malumo Gallants


Mchezo huo utapigwa May 13 katika uwanja wa Azam Complex, Chamazi. Yanga inahitaji kushinda mchezo huu ili kutwaa ubingwa wa ligi kuu


Aidha mchezo wa nusu fainali kombe la Shirikisho la Azam (ASFC) dhidi ya Singida BS utapigwa May 21 katika uwanja wa LITI, Singida


Mchezo huo utapigwa siku nne baada ya mchezo wa mkondo wa pili nusu fainali kombe la Shirikisho barani Afrika dhidi ya Malumo Gallants



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz