Simba, Yanga, Azam na Singida wote kucheza Ngao ya Jamii - EDUSPORTSTZ

Latest

Simba, Yanga, Azam na Singida wote kucheza Ngao ya Jamii

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

 Kabla ya kuanza kwa msimu huu 2022/23 kulifanyika mabadiliko ya kanuni za ligi kuu ya NBC mojawapo ya mabadiliko ni kanuni ya (19:1) kuhusu mchezo wa Ngao ya jamii ambapo kwa sasa kutakuwa na shindano la Ngao ya Jamii na sio mchezo mmoja.


Kanuni ya 19.1 inasema kutakuwa na shindano la Ngao ya jamii, ambapo timu tatu (3) za juu kwenye ligi kuu ya NBC na Bingwa wa kombe la shirikisho (ASFC) zitacheza mchuano huo maalumu. Endapo Bingwa wa FA yumo kwenye timu (3) za juu, basi ataingia anayeshika nafasi ya (4) kwenye ligi kuu.


Kwa Sasa ilivyo ni wazi Yanga, Simba, Azam na Singida ndio zitakazocheza shindano maalumu kwa kuanza kwa michezo ya nusu fainali.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz