Nyota wanne Liverpool waoneshwa mlango wa kutokea - EDUSPORTSTZ

Latest

Nyota wanne Liverpool waoneshwa mlango wa kutokea

Ofa ya Bando la Internet wiki BURE Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

 Klabu ya Liverpool imethibitisha kuwa Roberto Firmino, James Milner, Alex Oxlade-Chamberlain na Naby Keita wataondoka katika klabu hiyo mwishoni mwa msimu huu.


Liverpool inatazamiwa kusajili nyota wapya watakaokuja kuziba nafasi za wachezaji wanaoondoka na tayari kuna baadhi ya majina yameanza kuhusishwa.


Jurgen Klopp anataka kukisuka kikosi chake upya baada ya kufanya vibaya msimu huu tofauti na matarajio ya wengi.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz