Mo Dewji asema hili...! Yanga kutinga Fainali Shirikisho - EDUSPORTSTZ

Latest

Mo Dewji asema hili...! Yanga kutinga Fainali Shirikisho

Ofa ya Bando la Internet wiki BURE Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

 Mwekezaji kutoka katika Klabu ya Simba SC, Mohammed Dewji ameipongeza Klabu ya Yanga baada ya kutinga hatua ya Fainali ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika.


Yanga wameingia hatua ya Fainali baada ya kufanikiwa kuiondoa Timu ya Marumo Gallants kwa jumla ya mabao 4-1.


Kupitia Ukurasa wake wa Twitter, Mo Dewji ameandika;


"Hongera sana mtani, you have made Tanzania proud!"



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz