Matokeo Azam fc vs Yanga nusu fainali Azam confederation - EDUSPORTSTZ

Latest

Matokeo Azam fc vs Yanga nusu fainali Azam confederation

Ofa ya Bando la Internet wiki BURE Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

 Simba imeondoshwa michuano ya kombe la Shirikisho la Azam (ASFC) baada ya kukubali kipigo cha mabao 2-1 kutoka kwa Azam Fc


Mwaikenda na Prince Dube walifunga mabao ya Azam Fc wakati Sadio Kanoute akifunga bao pekee la Simba


Simba ilikuwa bora kwenye kipindi cha kwanza na pengine ilistahili kufunga zaidi ya mabao mawili kwa nafasi za wazi alizokosa Clatous Chama


Sio matokeo mazuri kwa Simba kwani ni wazi ni msimu wa pili mfululizo Simba inamaliza msimu pasipo kushinda taji lolote



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz