Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA
Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA
Juventus wamepokonywa pointi 10 kwenye Serie A kufuatia uamuzi wa Mahakama ya Rufaa ya Shirikisho baada ya kashfa yao ya hivi majuzi ya kifedha.
Kwa hali ilivyo, sasa wako nafasi ya 7 kwenye Serie A na wameanguka nje ya eneo la Uropa.
Miezi michache iliyopita Juventus walipokwa alama 15 lakini walishinda rufaa dhidi ya adhabu hiyo na sasa wamekutana na adhabu nyingine
No comments:
Post a Comment