Hii hapa List kamili ya wanao wania tuzo mbali mbali za Tff 2022/2023 - EDUSPORTSTZ

Latest

Hii hapa List kamili ya wanao wania tuzo mbali mbali za Tff 2022/2023

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA


 KAMATI ya Tuzo za Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), imefanya Uteuzi wa Washiriki Katika Makundi Mbalimbali ya Tuzo za Msimu wa 2022/2023


Tuzo hizo zimegawanyika katika Makundi matano ambayo ni;


1.Tuzo za Kombe la Shirikisho la Azam Sports (ASFC)

2.Tuzo za Ligi Kuu ya Wanawake (SWPL)

3.Tuzo za Ligi Kuu ya NBC

4.Tuzo za Utawala, na;

5.Tuzo za Ligi nyingine.


Orodha kamili ya tuzo hizo na wateule wake ni kama ifuatavyo:


ZAWADI wanazopata Washindi Klabu Bingwa Afrika (CAF Champions League)

1.TUZO ZA KOMBE LA SHIRIKISHO LA AZAM SPORTS (ASFC)


A.Wanaowania Tuzo ya Kipa Bora


Bennedict Haule – Singida Big Stars

Djigui Diarra – Young Africans

Abdulai Iddrisu – Azam FC

B.Wanaowania Tuzo ya Mchezaji Bora


(Wateule watatangazwa Jumapili May 21, 2023 baada ya mechi ya Nusu Fainali ya pili).

C.Wanaowania Tuzo Mfungaji Bora


(Mshindi ni yule atakayeongoza kwa kufunga mabao mengi, wapo wachezaji wenye mabao manne wameondolewa katika orodha hii kwa sababu timu zao zimeshatolewa na idadi ya mabao waliyofunga tayari imepitwa.

Hadi sasa Wachezaji ambao wana nafasi katika tuzo hizo ni;


Andrew Simchimba – 7 (Ihefu SC, timu yake imeshatoka, lakini mabao yake hayajafikiwa)

Clement Mzize – 6 (Yanga,

Timu yake inaendelea)

Abdul Suleiman – 3 (Azam, Timu yake inaendelea).

2. TUZO ZA LIGI YA WANAWAKE (SWPL)


A.Wanaowania Tuzo ya Kipa Bora


Najiath Abbas – JKT Queens

Winfrida Jedah – Fountain Gate Princess

Gelwa Yona – Simba Queens

B.wanaowania Tuzo ya Chipukizi Bora


Winfrida Charles – Alliance Girls

Winfrida Gerald – Fountain Gate

Jackline Shija JKT Queens

C.Wanaowania Tuzo ya Mchezaji Bora


Donisya Minja – JKT Queens

Jentrix Shikangwa – Simba Queens

Amina Bilali – Yanga Princess

D.Wanaowania Tuzo ya Kocha Bora


Ally Ally JKT Queens

Juma Hussein Fountain Gate

Charles Lukula – Simba Queens

E. Kikosi Bora cha Msimu wa 2022/2023


(Kitatangazwa siku ya sherehe za Tuzo).

F.Wanaowania Tuzo ya Mfungaji Bora


Jentrix Shikangwa – 17 (Simba Queens)

G. Timu zinazowania Tuzo ya Timu yenye Nidhamu Msimu wa 2022/2023


Amani Queens

JKT Queens

Alliance Girls

H. Wanaowania Tuzo ya Mwamuzi Bora


Jonesia Rukyaa – Kagera

Tatu Malogo – Tanga

Ester Adalbert – Singida

I. Wanaowania Tuzo ya Mwamuzi Msaidizi Bora


Janeth Balama – Iringa

Glory Tesha – Dar

Zawadi Yusuph – Dar

3:TUZO ZA LIGI KUU YA NBC (NBCPL)


A: Wachezaji waoawania Tuzo ya Mchezaji Bora


Mzamiru Yassin – Simba

Fiston Mayele – Yanga

Bruno Gomes Singida BS

Djigui Diarra Yanga

Saido Ntibazonkiza – Geita Gold/Simba

B:Wanaowania Tuzo ya Kipa Bora


Aishi Manula – Simba

Djigui Diarra – Yanga

Benedict Haule – Singida

C. Wanaowania Tuzo ya Beki Bora


Dickson Job – Yanga

Henock Inonga – Simba

Bakari Mwamnyeto – Yanga

Shomari Kapombe – Simba

Mohammed Hussein – Simba

D. Wanaowania Tuzo ya Kiungo Bora


Bruno Gomes Singida BS

Mzamiru Yassin – Simba

Stephane Aziz Ki – Yanga

Clatous Chama – Simba

Saido Ntibazonkiza – Geita Gold/Simba

E.Makocha Wanaowania Kocha Bora


Nasreddine Nabi – Yanga

Hans Pluijm Singida

Roberto Oliveira – Simba

F. Wanaowania Tuzo Meneja Bora wa Uwanja


Omari Malule Highland Estates (Mbeya)

Hassan Simba – Liti (Singida)

Amir Juma Azam Complex (Dar)

G. Wanaowania Tuzo ya Mchezaji Chipukizi Bora


Clement Mzize – Yanga

Edmund John – Geita Gold

Lameck Lawi – Coastal Union

H. Wachezaji waoawania kuunda Kikosi Bora Cha Msimu 2022/2023


(Kikosi Bora kitatangazwa siku ya sherehe za Tuzo)

I.Timu inayowania Tuzo ya Timu yenye Nidhamu


KMC

Ruvu Shooting

Tanzania Prisons

J. Waamuzi Wanaowania Tuzo ya Mwamuzi Bora


Jonesia Rukyaa – Kagera

Tatu Malogo – Tanga

Ramadhan Kayoko – Dar

K. Waamuzi Wanaowania Tuzo ya Mwamuzi Msaidizi Bora


Mohamed Mkono – Tanga

Frank Komba – Dar

Janeth Balama – Iringa

L. Waamuzi Wanaowania kuunda Seti Bora ya Waamuzi


SIMBA VS YANGA


Jonesia Rukyaa

Mohamed Mkono

Janeth Balama

Tatu Malogo

SIMBA VS AZAM


Abdi Wajihi

Alnord Bugado

Martin Mwalyaje

Isihaka Mwalile

GEITA GOLD VS DODOMA JIJI


Jonesia Rukyaa

Zawadi Yusuph

Athuman Rajabu

Ally Simba

M. Makamishina Wanaowania Tuzo ya Kamishina Bora.


Isaack Munisi

Hosea Lugano

Said Mankilingo

N. Tuzo ya Mchezo wa Kiungwana (Fair Play)


(Itatangazwa siku ya sherehe)

O. Wachezaji Wanaowania Tuzo ya Bao Bora


(Tayari mabao teule yamepatikana lakini kwa sababu Ligi bado inaendelea, pengine yanaweza kufungwa mabao mazuri zaidi nayo yakaingia katika kinyang’anyiro.)

P. Wachezaji Wanaowania Tuzo ya Mfungaji Bora


(Ni yule atakayeongoza kwa kufunga mabao mengi, hadi sasa msimamo wa juu ufungaji ni kama ifuatavyo;

Fiston Mayele Yanga (16)

Moses Phiri – Simba (10)

Saido Ntibazonkiza – Simba (10)

4:TUZO ZA UTAWALA


Tuzo ya Heshima Soka la Wanawake

(Mshindi atatangazwa siku ya sherehe za tuzo)

Tuzo ya Mchezaji Gwiji

(Mshindi atatangazwa siku ya sherehe za tuzo)

Tuzo ya Heshima

(Mshindi atatangazwa siku ya sherehe za tuzo)

Tuzo ya Rais

(Mshindi atatangazwa siku ya sherehe za tuzo)

5:TUZO ZA LIGI NYINGINE


A. Wachezaji Wanaowania Tuzo ya Mchezaji Bora Championship 2022/2023


Edward Songo – JKT Tanzania

John Elias Budeba – Mashujaa

Fabrice Ngoy wa Ngoy – Kitayosce

B. Wachezaji Wanaowania Tuzo ya Mchezaji Bora First League


Ramadhani Athumani – Rhino Rangers

Abdulrahman Mapande – Cosmopolitan

Tungu Kashinje – Stand United

C. Wachezaji Waoawania Tuzo ya Mchezaji Bora Ligi ya U20 – 2022 (Tuzo ya Ismail Khalifan)


Ladaki Chasambi – Mtibwa Sugar

William Mwani Mbeya Kwanza

Clement Mzize – Yanga




Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz