Tp mazembe wazima tetesi za kumtaka Nabi - EDUSPORTSTZ

Latest

Tp mazembe wazima tetesi za kumtaka Nabi

Kuingiza pesa Mtandaoni bure Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA


 Klabu ya TP Mazembe leo imetambulisha Mamadou Lamine Ndiaye kuwa Kocha wake mkuu


Taarifa hiyo iliyotolewa na TP Mazembe imezima tetesi zilizokuwa zikimuhusisha Kocha Mkuu wa Yanga Nasreddine Nabi kutakiwa na Mabingwa hao wa Afrika mara tano


Kukosekana kwa Nabi kwenye benchi la ufundi katika mechi iliyopita dhidi ya TP Mazembe, kulitoa mwanya kuibuliwa kwa tetesi hizo ambazo zilisambazwa kwenye mitandao ya kijamii


Nabi hakusafiri ya timu DR Congo akirejea kwao kufuatilia hati ya kusafiria


Nabi alisaini mkataba wa miaka miwili mwanzoni mwa msimu huu kuendelea kuinoa Yanga


Wakati huu akikosekana, Kocha Msaidizi Cedric Kaze ameendelea kusimamia program za mazoezi pengine kesho atakiongoza kikosi cha Yanga katika mchezo wa robo fainali kombe la FA dhidi ya Geita Gold utakaopigwa uwanja wa Azam Complex



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz