Tetesi za usajili: Mchezaji huyu aingia kwenye rada za Yanga, Djuma huenda akatimka - EDUSPORTSTZ

Latest

Tetesi za usajili: Mchezaji huyu aingia kwenye rada za Yanga, Djuma huenda akatimka

Ofa ya Bando la Internet wiki BURE Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA


 Juzi baada ya mchezo wa ligi kuu dhidi ya Kagera Sugar ambao Yanga waliibuka na ushindi wa mabao 5-0 katika dimba la Azam Complex, kuna tukio lilitokea baada ya mchezo


Kocha Mkuu wa Yanga Nasreddine Nabi alimdaka mlinzi wa kulia wa Kagera Sugar Datus Peter na kufanya nae mazungumzo ya muda mfupi


Imeelezwa kulikuwa na mazungumzo zaidi nje ya camera, Nabi akionyesha kuvutiwa na mlinzi huyo


Nabi amekabidhiwa rungu la kuanza kukisuka kikosi chake mapema kuelekea msimu ujao


Kuna taarifa kuwa TP Mazembe wanahitaji huduma ya mlinzi Djuma Shabani huku pia wakiwa tayari wamewasilisha ofa Jangwani kwa ajili ya kumsajili Feisal Salum 'Fei Toto'


Maongezi ya Nabi na Datus ni dalili kuwa anamuhitaji kwenye kikosi chake na pengine suala la Mazembe na Djuma linaweza kutokea



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz