Kuingiza pesa Mtandaoni bure Bonyeza HAPA
Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA
Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA
Mudathir alipachika bao hilo katika mchezo uliopigwa uwanja wa Benjamin Mkapa akipokea pasi murua kutoka kwa Kennedy Musonda katika mchezo ambao Yanga ilishinda mabao 3-1
Jumla ya kura 84, 166 zilipigwa katika ukurasa wa CAF wa Twitter, Mudathir akipata asilimia 70.5 ya kura zote
Post a Comment