Matokeo Real Madrid vs Chelsea hapo jana - EDUSPORTSTZ

Latest

Matokeo Real Madrid vs Chelsea hapo jana

Kupata Kifurushi cha bure Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

 Mabao ya Karim Benzema na Marco Asensio yaliihakikishia Real Madrid kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Chelsea katika mchezo wa ligi ya mabingwa barani Ulaya uliopigwa Jumatano usiku


Ushindi huo umeiweka Real Madrid katika nafasi nzuri ya kutinga nusu fainali kwani watahitaji matokeo ya sare hata kufungwa sio zaidi ya bao moja


Pamoja na kipigo hicho, mkufunzi wa muda wa Chelsea Frank Lampard amesema wachezaji wake wataendelea kuwa na imani kuwa wanaweza kufanya kitu nyumbani


AC Milan ilipata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Napoli katika mchezo mwingine wa robo fainali uliohusisha derby ya Italia


Timu hizo zitarudiana tena wiki ijayo kwenye uwanja wa Diego Maradona huko Napoli



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz