Ligi kuu NBC kuendelea Leo Jumapili - EDUSPORTSTZ

Latest

Ligi kuu NBC kuendelea Leo Jumapili

Kupata Kifurushi cha bure Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

 Mikiki mikiki ya Ligi Kuu ya NBC inaendelea leo vita kubwa ikiwa chini ya msimamo wa ligi


Tanzania Prisons wakiwa nafasi ya 14 katika msimamo wa ligi watakuwa uwanja wa Sokoine wakiwakaribisha Ruvu Shooting ambao wapo nafasi ya 15


Dodoma Jiji akiwa nafasi ya 11 kuwakaribisha Coastal Union ambao wapo nafasi ya 13. Kila timu inataka alama tatu ili kuendelea kuweka uhai wa kubaki Ligi Kuu


Saa tatu siku Namungo Fc itachuana na Mbeya City katika mchezo utakaopigwa uwanja wa Majaliwa



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz