Doumbia alivyo itumika Yanga Kwa mara ya Kwanza ligi kuu - EDUSPORTSTZ

Latest

Doumbia alivyo itumika Yanga Kwa mara ya Kwanza ligi kuu

Kupata Kifurushi cha bure Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA


 Kocha Mkuu wa Yanga Nasreddine Nabi jana alimtumia kwa mara ya kwanza beki Mamadou Doumbia katika mchezo wa ligi kuu ya NBC


Doumbia aliingia dakika ya 67 kwenye mchezo dhidi ya Kagera Sugar ambao Yanga iliibuka na ushindi wa mabao 5-0 katika uwanja wa Azam Complex


Doumbia alitumia takribani dakika 25 alizotumika katika mchezo huo akionyesha umahiri wake katika kupiga pasi, kunusa na kuokoa hatari pamoja na kucheza mipira ya juu


Mara kadhaa Nabi aliweka bayana kuwa Doumbia hatumiki sio kwa sababu ni mchezaji mbaya, bali anampa muda ili aweze kuzoea mbinu ya aina ya uchezaji wa wenzake


Wakati Doumbia anasajiliwa na Yanga, tayari aliwakuta wenzake wanafanya vizuri katika nafasi anayocheza hivyo ilikuwa ni lazima kwa Nabi kuwa na uvumilivu ili kuhakikisha hamuweki kwenye presha kubwa


Taratibu Doumbia ameanza kuonekana na bila shaka wale waliokuwa na mashaka nae watatulia..!



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz