Ofa ya Bando la Internet wiki BURE Bonyeza HAPA
Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA
Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA
Kipa namba tatu wa Simba, Ally Salim amesaini mkataba mpya wa miaka mitatu kusalia klabuni hapo hadi 2027 huku akidaiwa kuboreshewa maslahi yake kama njia mojawapo ya kumbakisha kikosini hapo.
Ally Salim ameonekana kufanya vyema katika mechi za hivi karibuni za Simba na kupongezwa na wengi huku akionekana kuziba vyema pengo la Aishi Manula ambae ni majeruhi.
Pambano lililompa sifa zaidi ni dhidi ya Yanga Jumapili iliyopita ambako aliondoka na clean sheet.
Download our APP from Google Playstore using the link here>>>
Join Our Telegram Channel for Daily Updates
CLICK HERE
No comments:
Post a Comment