TFF yatupilia mbali shauri la Feisal (maombi yake hayana mashiko) - EDUSPORTSTZ

Latest

TFF yatupilia mbali shauri la Feisal (maombi yake hayana mashiko)

TFF yatupilia mbali shauri la Feisal (maombi yake hayana mashiko)

TFF yatupilia mbali shauri la Feisal (maombi yake hayana mashiko)

TFF yatupilia mbali shauri la Feisal (maombi yake hayana mashiko)

TFF yatupilia mbali shauri la Feisal (maombi yake hayana mashiko)

Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imekutana leo tarehe 2 Machi, 2023 kwa ajili ya kusikiliza pamoja na mambo mengine shauri la mapitio (Review) ya uamuzi wake wa tarehe 9 Januari 2023 kati ya Feisal Salumu na Klabu ya Young Africans kama yalivyowasilishwa na muombaji Feisal Salum dhidi ya Klabu ya Young Africans.

Baada ya kusikiliza hoja za mawakili wa pande zote mbili Kamati imeona kuwa shauri hilo la mapitio (Review) halina msingi wa kisheria kushawishi Kamati kubadili maamuzi yake yaliyotolewa awali na hivyo imetupilia mbali shauri hilo.

TFF imesema kuwa sababu kwa undani za uamuzi huo zitatolewa kwa pande zote mbili zinazohusika katika shauri hilo Jumatatu ya tarehe 6 Machi, 2023.

Baada ya shauri hilo kutupiliwa mbali Feisal Salum Abdallah atakuwa na nafasi ya kwenda kwenda Mamlaka za juu zaidi ambako ni CAS, endapo hajaridhika na maamuzi hayo.

Kwa sasa Feisal anabaki kuwa Mchezaji halali wa Young Africans.

TFF yatupilia mbali shauri la Feisal (maombi yake hayana mashiko)

TFF yatupilia mbali shauri la Feisal (maombi yake hayana mashiko)

Nijuze TV ni App ambayo ukiwa nayo utaweza kutazama mechi za Ligi Kuu Tz Bara (NBC PREMIER LEAGUE) EPL, WORLD CUP, EPL, LALIGA, SERIA, LIGUE 1, BUNDESLIGA na Ligi nyingine nyingi.

DONWLOAD NIJUZE TV HAPA SISI kwetu Michezo ndiyo Furaha YETU.

The post TFF yatupilia mbali shauri la Feisal (maombi yake hayana mashiko) appeared first on Nijuze Mpya.



from Michezo – Nijuze Mpya https://ift.tt/gPUjR7f
via IFTTT


Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz