Rashford na Kocha wake washinda tuzo ya mwezi February EPL - EDUSPORTSTZ

Latest

Rashford na Kocha wake washinda tuzo ya mwezi February EPL

 

Mshambuliaji wa Manchester United, Marcus Rashford ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa mwezi Februari wa ligi kuu ya Uingereza

Rashford ametwaa tuzo hiyo kwa mara ya tatu, msimu huu akiwa ameshinda mwezi Septemba, Januari na sasa Februari 

Nae Meneja wa Manchester United, Eric Ten Hag ameshinda tuzo ya kocha bora wa mwezi Februari katika Ligi Kuu ya Uingereza

Ten Hag ametwaa tuzo hiyo kwa mara ya pili msimu huu baada ya kuchukua tuzo ya mwezi Septemba 2022 pia



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz