Ouattara mambo safi simba - EDUSPORTSTZ

Latest

Ouattara mambo safi simba

Kuingiza pesa Mtandaoni bure Bonyeza HAPA

Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA

Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA
 
Beki wa Simba raia wa Burkina Faso, Mohamed Outtara ameanza mazoezi baada ya kuwa nje ya uwanja kwa muda akisumbuliwa na majeraha


Ouattara hakuwa sehemu ya mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Horoya uliochezwa Uwanja wa Mkapa na Simba kuibuka na ushindi wa mabao 7-0 na kujihakikishia tiketi ya kucheza robo fainali ya nne ya mashindano ya CAF katika miaka mitano iliyopita


Ouattara ni miongoni mwa wachezaji walioanza mazoezi jana kujiandaa na mchezo wa kukamilisha ratiba ya makundi dhidi ya Raja Casablanca. Mchezo huo utapigwa April 01 huko Morocco


Ouattara na Kennedy Juma huenda wakapata nafasi ya kuanza katika mchezo huo badala ya Hennock Inonga na Joash Onyango



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz