Nyota ya Sakho yazidi kung'ara aitwa timu ya Taifa ! Hiki hapa kikosi kamili - EDUSPORTSTZ

Latest

Nyota ya Sakho yazidi kung'ara aitwa timu ya Taifa ! Hiki hapa kikosi kamili

 

Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA

Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

Kiungo mshambuliaji wa Simba Pape Ousmane Sakho amejumuishwa kwenye kikosi cha wachezaji 24 timu ya Taifa ya Senegal kuelekea mechi za kuwania kufuzu AFCON 2023 dhidi ya Msumbiji


Hii ni mara ya kwanza kwa Sakho kujumuishwa kwenye kikosi kamili cha Senegal kinachojumuisha wachezaji wanaocheza soka nje ya Senegal


Amewahi kujumuishwa kwenye kikosi cha wachezaji wa ndani (CHAN) kabla hajasajiliwa na Simba





Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz