Mwamnyeto aingia kwenye Rada za Caf Ajumuishwa katika Hili - EDUSPORTSTZ

Latest

Mwamnyeto aingia kwenye Rada za Caf Ajumuishwa katika Hili

Nahodha wa Yanga Bakari Nondo Mwamnyeto amejumuishwa katika kikosi cha wiki kwenye michuano ya kombe la Shirikisho barani Afrika baada ya mechi za raundi ya nne

Mwamnyeto alionyesha kiwango bora katika mchezo dhidi ya Real Bamako uliopigwa uwanja wa Benjamin Mkapa jana na Yanga kuibuka na ushindi wa mabao 2-0

Tangu arejeshwe kwenye kikosi cha kwanza Mwamnyeto amecheza mechi tatu za makundi dhidi ya TP Mazembe na mechi mbili dhidi ya Real Bamako

Kwa hakika nyakati ngumu hupita, sasa Wananchi wanafurahia kazi nzuri anayoifanya kwenye safu ya ulinzi kama ilivyo kawaida yake


Je unatafuta Ajira tembelea tovuti hii Sasa Kwa matangazo yote ya kazi BOFYA HAPA SASA



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz