Mo Dewji ateua wajumbe wapya bodi ya Wakurugenzi Simba - EDUSPORTSTZ

Latest

Mo Dewji ateua wajumbe wapya bodi ya Wakurugenzi Simba

Mo Dewji ateua wajumbe wapya bodi ya Wakurugenzi Simba

Mo Dewji ateua wajumbe wapya bodi ya Wakurugenzi Simba

Mo Dewji ateua wajumbe wapya bodi ya Wakurugenzi Simba

Mo Dewji ateua wajumbe wapya bodi ya Wakurugenzi Simba

Mwekezaji wa klabu ya Simba Mohammed Dewji Mo’ ambaye ni Rais wa heshima wa klabu hiyo, amefanya uteuzi wa Wajumbe wanne wanaoingia kwenye Bodi ya Wakurugenzi ya klabu ya Simba Sports Club.

Walioteuliwa ni Dk. Raphael Chegeni, Mhe Rashid Shangazi, Bwana Hamza Johari na Bwana Zulfikar Chandoo.

Mo Dewji ateua wajumbe wapya bodi ya Wakurugenzi Simba

Mo Dewji ateua wajumbe wapya bodi ya Wakurugenzi Simba

Katika taarifa aliyotoa, Mo Dewji amesema kuwa uteuzi huo umezingatia uzoefu wao akiwa na imani kuwa watasaidia katika kutimiza lengo la klabu ya Simba SC.

“Nimeteua wajumbe wanne wapya kwenye Bodi ya Simba Sports Club. Karibu Dk. Raphael Chegeni, Mhe Rashid Shangazi, Bwana Hamza Johari na Bwana Zulfikar Chandoo. Wanachama hawa wataleta uzoefu mkubwa ambao utasaidia katika kutimiza lengo la klabu, na kuwa klabu ya soka inayoongoza barani Afrika”

Nijuze TV ni App ambayo ukiwa nayo utaweza kutazama mechi za Ligi Kuu Tz Bara (NBC PREMIER LEAGUE) EPL, WORLD CUP, EPL, LALIGA, SERIA, LIGUE 1, BUNDESLIGA na Ligi nyingine nyingi.

DONWLOAD NIJUZE TV HAPA SISI kwetu Michezo ndiyo Furaha YETU.

The post Mo Dewji ateua wajumbe wapya bodi ya Wakurugenzi Simba appeared first on Nijuze Mpya.



from Michezo – Nijuze Mpya https://ift.tt/jtpEvXo
via IFTTT


Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz