Mabadiliko ya muda na Uwanja Simba vs African Sports - EDUSPORTSTZ

Latest

Mabadiliko ya muda na Uwanja Simba vs African Sports

Mabadiliko ya muda na Uwanja Simba vs African Sports

Mabadiliko ya muda na Uwanja Simba vs African Sports

Mabadiliko ya muda na Uwanja Simba vs African Sports

Mabadiliko ya muda na Uwanja Simba vs African Sports

Klabu ya Simba imethibitisha kuwa mchezo wa raundi ya nne kombe la Shirikisho la Azam Sports Federation Cup (ASFC) dhidi ya African Sports utapigwa kwenye uwanja wa Uhuru.

Mchezo huo ambao awali ulipangwa kupigwa kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa, umepelekwa Uhuru kutokana na ukarabati unaofanyika kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa.

Mabadiliko ya muda na Uwanja Simba vs African Sports

Mabadiliko ya muda na Uwanja Simba vs African Sports

Mchezo huo utapigwa Alhamisi ya tarehe 2 Machi kuanzia saa 10:00 jioni.

Simba inahitaji kushinda mchezo huo kwani mshindi wa hatua hiyo anatinga robo Fainali ya michuano hiyo.

Aidha Simba imesema kuwa itautumia Uwanja wa Benjamin Mkapa kwenye michezo ya Klabu Bingwa tu.

Nijuze TV ni App ambayo ukiwa nayo utaweza kutazama mechi za Ligi Kuu Tz Bara (NBC PREMIER LEAGUE) EPL, WORLD CUP, EPL, LALIGA, SERIA, LIGUE 1, BUNDESLIGA na Ligi nyingine nyingi.

DONWLOAD NIJUZE TV HAPA SISI kwetu Michezo ndiyo Furaha YETU.

The post Mabadiliko ya muda na Uwanja Simba vs African Sports appeared first on Nijuze Mpya.



from Michezo – Nijuze Mpya https://ift.tt/knPsxce
via IFTTT


Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz