Hakuna kulala, Simba kurejea Dar usiku huu - EDUSPORTSTZ

Latest

Hakuna kulala, Simba kurejea Dar usiku huu

Baada ya ushindi wa mabao 3-0 tuliopata dhidi ya Mtibwa Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa Uwanja wa Manungu Complex kikosi kimeanza safari ya kurejea jijini Dar es Salaam.


Baada ya timu kufika wachezaji watapewa mapumziko ya siku moja ambapo watarejea mazoezini Jumatatu kuanza maandalizi ya mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Horoya FC kutoka Guinea.


Matokeo Mtibwa sugar vs Simba leo


Mchezo dhidi ya Horoya utapigwa Jumamosi Machi 18, katika Uwanja wa Benjamin Mkapa saa moja usiku.


Ushindi katika mchezo huo ndio utatupa tiketi ya kufuzu hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika ndio maana tunaupa umuhimu mkubwa.

Je unatafuta Ajira tembelea tovuti hii Sasa Kwa matangazo yote ya kazi BOFYA HAPA SASA



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz