Droo ya robo fainali ya michuano ya ligi ya mabingwa barani Ulaya yapangwa hii hapa ratiba kamili - EDUSPORTSTZ

Latest

Droo ya robo fainali ya michuano ya ligi ya mabingwa barani Ulaya yapangwa hii hapa ratiba kamili

Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA

Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA
 

Droo ya robo fainali ya michuano ya ligi ya mabingwa barani Ulaya imefanyika leo ambapo mabingwa wa Uingereza Manchester City watakuwa na shughuli pevu mbele ya Bayern Munich katika mtanange wa robo fainali


Itakuwa mechi ya kwanza ya mashindano kwa Pep Guardiola kuchuana na waajiri wake wa zamani, Bayern Munich


Mabingwa wa kihistoria wa michuano hiyo, Real Madrid wao watachuana na Chelsea


Ni droo ambayo mpaka nusu fainali itabakisha timu moja tu kati ya vigogo Real Madrid, Man City na Bayern kwani mshindi wa mchezo kati ya Man City dhidi ya Bayern Munich kwenye nusu fainali atakumbana na mshindi wa mchezo kati ya Real Madrid dhidi ya Chelsea


Ac Milan itachuana na Napoli katika mchezo mwingine wakati Benfica ikichuana na Inter Milan


Washindi wa mechi hizo juu watakutana kwenye nusu fainali.





Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz