Denis Nkane mambo safi Yanga - EDUSPORTSTZ

Latest

Denis Nkane mambo safi Yanga

Kuingiza pesa Mtandaoni bure Bonyeza HAPA

Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA

Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA
 
Winga wa Yanga Denis Nkane amerejea mazoezini akiungana na wenzake baada ya kupona majeraha


Nkane hajaonekana uwanjani kwa takribani wiki nane akisumbuliwa na majeraha ya kifundo cha mguu


Amerejea wakati ambapo ushindani katika eneo analocheza umeongezeka


Ni wazi atakuwa na kazi ya ziada ili kuhakikisha anapata nafasi kama ilivyokuwa kabla hajapata majeraha


Tuisila Kisinda, Jesus Moloko, Dickson Ambundo, Bernard Morrison na hata Kennedy Musonda wote wanamudu kucheza winga



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz