Boko kuwa kocha wa Simba!! Ishu Iko hivi - EDUSPORTSTZ

Latest

Boko kuwa kocha wa Simba!! Ishu Iko hivi

Kuingiza pesa Mtandaoni bure Bonyeza HAPA

Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA

Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

Mwenyekiti wa bodi ya Wakurugenzi Simba, Salim Abdalah 'Try Again' ni kama amemshtua nahodha John Bocco kugeukia upande wa ukocha ambao amekuwa akitamani

Try Again aliyasema hayo mapema leo wakati Simba ikisaini mkataba wa kuendeleza na kukuza soka la vijana

Try Again alibainisha kuwa Bocco mara kadhaa amekuwa akimwambia juu ya ndoto yake ya kuwa kocha na sasa njia kwake ni nyeupe kutokana na uwekezaji ambao umeanza kufanywa kwa vijana

"Bocco nahodha wetu na wewe ndoto yako ya kuwa kocha wa vijana inatimia sasa maana mara kwa mara umekuwa ukiniambia kuhusu hilo, hivi karibuni tutaanza ujenzi wa akademi yetu na tayari niliongea na mwekezaji wetu," alisemaTry Again
 



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz