Chama ashinda goli la wiki ligi ya mabingwa - EDUSPORTSTZ

Latest

Chama ashinda goli la wiki ligi ya mabingwa

Kuingiza pesa Mtandaoni bure Bonyeza HAPA

Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA

Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA
 
Bao la mpira wa adhabu lililofungwa na Clatous Chama wa Simba kwenye mchezo wa ligi ya mabingwa dhidi ya Horoya Ac limechaguliwa kuwa goli bora la wiki


Kwa upande wa mchezaji bora wa wiki, Mahmoud Kahraba ameshinda tuzo hiyo akipata kura asilimia 49 dhidi ya asilimia 43 alizopata Chama


Mchuano ambanao ulikuwa mkali kwelikweli huko Twitter lakini ni wazi mashabiki wa Al Ahly walihamasishana dakika za majeruhi na kumuwezesha mchezaji wao kushinda


Klabu ya Simba imetoa wachezaji wanne katika kikosi cha wiki cha CAF, pia ikitoa goli bora la wiki



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz