Baleke, Chama na Manula wanawania tuzo hii kutoka simba - EDUSPORTSTZ

Latest

Baleke, Chama na Manula wanawania tuzo hii kutoka simba

Kuingiza pesa Mtandaoni bure Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

 
Mlinda lango wa Simba Aishi Manula anachuana na mshambuliaji Jean Baleke na kiungo Clatous Chama kuwania tuzo ya mchezaji bora wa mashabiki wa Simba kwa mwezi March 2023


Wachezaji hao wanawania tuzo hiyo (Emirate Aluminium Profile Simba Fans Player of the Month) baada ya kuwa na kiwango bora katika mechi zilizopigwa mwezi March 2023


Mwezi March Baleke alipachika mabao sita na assist moja wakati Chama akifunga mabao manne na assist moja pia


Manula alikaa langoni katika mechi tatu pasipo kuruhusu bao


Kura zinahesabiwa kupitia tovuti rasmi ya klabu ya Simba



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz