DEJAN aondoka Simba SC - EDUSPORTSTZ

Latest

DEJAN aondoka Simba SC

DEJAN aondoka Simba SC

DEJAN aondoka Simba SC

DEJAN aondoka Simba SC

Dejan Georgijević Simba SC

Mshambuliaji wa Simba SC raia wa Serbia, Dejan Georgejevic ametangaza kuondoka kwenye Klabu ya Simba SC baada ya kuvunjiwa mkataba na klabu hiyo.

Kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa Instagram, Mshambuliaji huyo amethibitisha kusitisha mkataba wake kwa alichokieleza kukiukwa kwa makubaliano ya mkataba wake na Simba SC.

Dejan amewashukuru Mashabiki wa Simba kwa Upendo na Ushirikiano waliompatia kwa kipindi cha takribani miezi miwili ambayo ameitumikia Simba SC, Klabu ambayo Makazi yake yapo Kariakoo Mtaa Msimbazi Jijini Dar es Salaam.

“Ninathibitisha kwamba Mkataba wangu wa Ajira umesitishwa kwa sababu za haki kutokana na ukiukwaji wa kimsingi wa Mkataba na Klabu,”. Asanteni mashabiki kwa support na upendo mlionipa,”. ameandika Dejan

I confirm that my Contract of Employment is terminated with just cause due to the fundamental breaches of the Contract by the Club.Thank you fans for the support and love you have given me.

PARMATCH Kumwaga Mamilioni kwa Wateja Wapya | Jisajili hapa Kushinda Zawadi

PARMATCH Kumwaga Mamilioni kwa Wateja Wapya

BETI NA PARMATCH USHINDE MAMILIONI

Kampuni ya Michezo ya KUBETI na KASINO za Mtandaoni Tanzania PARMATCH imezindua Ofa mpya ya Bonasi kwa Wateja wapya.

Kila mteja mpya atakayejisajili na PARMATCH atajinyakulia BONASI sawa na kiasi alichoweka kwa mara ya kwanza kuanzia Shilingi 1,000 hadi milioni moja kwa kila mteja.

Akizungumza katika uzinduzi wa BONASI hiyo Afisa Masoko wa Parmatch amesema kuwa Bonasi hiyo itawahusu wateja wapya watakaojisajili na kuweka salio kwenye akaunti zao.

Ili uweze kujisajili na PARMATCH unatakiwa kutembelea tovuti yao kwa kugusa HAPA Kisha Jisajili.

Kujiunga na PARMATCH na kupata Bonasi ya hadi 1,000,000 (Milioni Moja) Ukideposit salio kwenye akaunti yako Bofya HAPA.

Unaweza kupata Taarifa hii kwa undani zaidi kwa kubofya Parmatch.co.tz

IFAHAMU Faida ya kuwa na App ya Nijuze Habari kwenye simu yako.

IFAHAMU Faida ya kuwa na App ya Nijuze Habari kwenye simu yako.IFAHAMU Faida ya kuwa na App ya Nijuze Habari kwenye simu yako.

FAIDA YA KUWA NA NIJUZE HABARI APPUkiwa na App hii utapata Kutazama Mubashara Mechi za Tanzania na nje ya Tanzania kwa kuchagua Category ya MECHI LIVE kwenye App yetu.

Pia utaweka kutazam habari na Matukio mbali mbali Mubashara masaa 24 kutoka Channel za TBC ONE, CHANNEL TEN, STAR TV, EATV, ABOOD TV na nyinginezo.

Wapenzi wa MUZIKI wataweza kutazama Mubashara nyimbo mpya na za zamani kwa masaa 24 kutoka Tanzania na nje ya Tanzania kupitia Channel za TBC TWO, SANYUKA TV, TV 47, AFRO BEAT na nyinginezo.

Aidha kwenye Category ya DINI utapata Kutazama Mubashara Kiganjani mwako Channel ya IBN, Channel ya Nabii Mwamposa (A RISE AND SHINE) pamoja na ABOOD TV.

Kwa Upande wa Kusikiliza Radio, tumekuwekea radio za CLOUDS FM, EA RADIO, UFM na BONGO FLEVA kwaajili nyimbo zote mpya na zamani.

Nijuze Habari bado tunaendela kuongeza Channel na habari kwenye App yetu ili kukupa kilicho bora zaidi, hivo endelea kuwa na App yetu update yoyote mpya.

Sambaza App yetu kwa ndugu jamaa na marafiki, waibie hii siri ili wasipitwe na burudani hizi moto moto.

BOFYA HAPA KUDOWNLOAD BURE KUTAZAMA MUBASHARA TAARIFA ZOTE.

DOWNLOAD App Yetu Mpya Kutazama Mechi Mubashara, Magazeti ya Kila Siku asubuhi Pamoja Na Habari Nyingine Nyingi.

Download Bure App mpya ya Nijuze Habari kuweza kuangalia Mpira na utaweza kuona Matokeo na Ratiba ya ligi zote kubwa Duniani.

The post DEJAN aondoka Simba SC appeared first on Nijuze Mpya.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz