MTIBWA NA PRISONS JUMAPILI SOKOINE, JUMATANO MANUNGU-Michezoni leo - EDUSPORTSTZ

Latest

MTIBWA NA PRISONS JUMAPILI SOKOINE, JUMATANO MANUNGU-Michezoni leo

Pakua App ya 'EDUSPORTSTZ NEWS' Uweze kufurahia Habari zote za Mapenzi; Udaku, Ajira na Michezo kila siku Ipo Google Playstore, Kwa Ku BONYEZA INSTALL Ili KUIDOWNLOAD Kwenye Simu yako nakutasoma habari zote hata kama hauna MB

MECHI za mchujo wa kuwania kubaki Ligi Kuu ya Tanzania Bara baina ya Mtibwa Sugar na Tanzania Prisons zutachezwa Jumapili na Jumatano, Julai 6.
Mechi ya kwanza itachezwa Jumapili Uwanja wa Sokoine Jijini Mbeya, Tanzania Prisons wakiwa wenyeji na marudiano na Jumatano Uwanja wa Manungu, Turiani mkoani Morogoro Mtibwa wakiwa wenyeji.
Timu itakayoshinda itabaki Ligi Kuu na itakayofungwa itakwenda kumenyana na JKT Tanzania kutoka Championship na mshindi ndiye atacheza Ligi Kuu msimu ujao.
Mechi dhidi ya JKT Tanzania zimepngwa kucheza Julai 9 Uwanja wa Meja Isamuhyo huko Mbweni, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam na marudiano Julai 13 Sokoine au Manungu.




Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz