YANGA YASHINDA MECHI NYINGINE YA KIRAFIKI KIGAMBONI-Michezoni leo - EDUSPORTSTZ

Latest

YANGA YASHINDA MECHI NYINGINE YA KIRAFIKI KIGAMBONI-Michezoni leo

Pakua App ya 'EDUSPORTSTZ NEWS' Uweze kufurahia Habari zote za Mapenzi; Udaku, Ajira na Michezo kila siku Ipo Google Playstore, Kwa Ku BONYEZA INSTALL Ili KUIDOWNLOAD Kwenye Simu yako nakutasoma habari zote hata kama hauna MB

VIGOGO, Yanga SC wameibuka na ushindi wa 3-2 dhidi ya JKT Tanzania katika mchezo wa kirafiki Ijumaa Uwanja wa Avic Town, Somangira nje kidogo ya Jijila Dar es Salaam.
Mabao ya Yanga yamefungwa na Heritier Makambo, Chrispin Ngushi na Dickson Ambundo katika mchezo huo wa kirafiki kujiandaa na mechi zilizosalia za Ligi Kuu ya Tanzania Bara.








Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz