TIMU YA TAIFA YA WALEMAVU BUNGENI DODOMA LEO-Michezoni leo - EDUSPORTSTZ

Latest

TIMU YA TAIFA YA WALEMAVU BUNGENI DODOMA LEO-Michezoni leo

Pakua App ya 'EDUSPORTSTZ NEWS' Uweze kufurahia Habari zote za Mapenzi; Udaku, Ajira na Michezo kila siku Ipo Google Playstore, Kwa Ku BONYEZA INSTALL Ili KUIDOWNLOAD Kwenye Simu yako nakutasoma habari zote hata kama hauna MB

WAZIRI wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Mohamed Mchengerwa akiwa katika picha ya pamoja na wachezaji wa timu ya taifa ya Walemavu, Tembo Worriors baada ya kukaribishwa Bungeni Jijini Dodoma leo na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Tulia Akson kwa ajili ya kupongezwa baada ya Kufuzu Fainali za Kombe la Dunia zitakazofanyika nchini Uturuki mwezi Oktoba.






Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz