Rumors za Kuvunjika kwa Kundi la Rap la MIGOS tokea nchini Marekani Zazidi Kushika Kasi Waondolewa Katika Show Hii Kubwa - EDUSPORTSTZ

Latest

Rumors za Kuvunjika kwa Kundi la Rap la MIGOS tokea nchini Marekani Zazidi Kushika Kasi Waondolewa Katika Show Hii Kubwa

 


Rumors za kuvunjika kwa kundi la Rap tokea nchini Marekani, Migos linalo undwa na wasanii watatu, OffSet, Quavo na TakeOff, zinazidi kukolea siku baada ya siku na hii ilianza mwishoni mwa mwezi Mei, baada ya Rapa Offset kuwaunfollow Quavo na TakeOff kwenye mitandao yake ya kijamii.


June 10, mwaka huu wasanii hao walikuwa kwenye list ya wataokao fanya performance kwenye tamasha la Governors Ball jijini New York, lakini hadi inafika tarehe 08 mwezi huu, taarifa zilizotoka ni kuwa wasanii hao wamefuta uwepo wao kwenye tamasha hilo na hivyo nafasi yao itachukuliwa na Rapa, Lil Wayne





Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz