Orodha ya majina ya waliopata ajira kada za Afya na Ualimu TAMISEMI - EDUSPORTSTZ

Latest

Orodha ya majina ya waliopata ajira kada za Afya na Ualimu TAMISEMI



OFISI ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) imetangaza majina 16,676 ya watumishi wapya waliopangiwa vituo vya kazi katika Sekta ya Elimu na Afya nchini.


Orodha hiyo inatokana na waombaji wenye sifa waliokidhi vigezo baada ya Aprili, 2022 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan kutoa kibali cha ajira kwa kada za Ualimu na Afya, kwa ajili ya kuajiri walimu 9,800 wa shule za msingi na sekondari na wataalam wa afya 7,612

Bonyeza Link Hizi Zifuatazo Kusoma Majina:

TAMISEMI:Majina ya Walimu Walioajiriwa | List of Newly Employed Teachers 2022

TAMISEMI- Majina Ya Walioajiriwa Kada ya Afya | List of Newly Employed Health Sector 2022






Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz