Mume aoa wake zake wawili kwa siku moja - EDUSPORTSTZ

Latest

Mume aoa wake zake wawili kwa siku moja



Kijana wa miaka 22 Mustapha Ado ame-make headlines kwenye baadhi ya vyombo vya habari nchini Nigeria baada ya kufunga ndoa na wake zake wawili kwa siku moja.
Picha za Mustapha akiwa na wake zake wawili wakiwa wanafunga ndoa zimeweza kwenda viral mitandaoni kwa watu kushangazwa na tukio hilo la aina yake.





Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz