Mwijaku 'Mganga wa Kajala ni Wakweli Kaharibu Ubingwa wa Yanga" - EDUSPORTSTZ

Latest

Mwijaku 'Mganga wa Kajala ni Wakweli Kaharibu Ubingwa wa Yanga"


Jana, kupitia ukurasa wa Instagram @mwijaku amepost post picha na kuandika, "Tukubaliane kua Harmonize kaharibu ubigwa wa Yanga.

Sioni kelele wala nderemo, au mganga wa kajala ni wa kweli sio muongo? Au ubigwa ni wa magumashi? Hehehe."

Vipi ni kweli ubingwa wa Yanga umefunikwa na Konde boy?





Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz