MSHAMBULIAJI AZAM FC AFIWA NA BABA MZAZI ZAMBIA -Michezoni leo - EDUSPORTSTZ

Latest

MSHAMBULIAJI AZAM FC AFIWA NA BABA MZAZI ZAMBIA -Michezoni leo

Pakua App ya 'EDUSPORTSTZ NEWS' Uweze kufurahia Habari zote za Mapenzi; Udaku, Ajira na Michezo kila siku Ipo Google Playstore, Kwa Ku BONYEZA INSTALL Ili KUIDOWNLOAD Kwenye Simu yako nakutasoma habari zote hata kama hauna MB

MSHAMBULIAJI wa Azam FC, Mzambia Rodgers Kola amefiwa na baba yake mzazi, Damiano Kola Senior nchini kwao, Zambia.
Taarifa ya Azam FC imesema; "Kwa niaba ya Bodi, viongozi, wafanyakazi na mashabiki wa Azam FC, kwa masikitiko makubwa tunapenda kutuma salamu za rambirambi kwa familia ya mshambuliaji wetu, Rodgers Kola baada ya kufiwa na baba yake mzazi, Damiano Kola Senior.l,".




Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz