MESSI ALIPOISAIDIA ARGENTINA KUTWAA TAJI WEMBLEY -Michezoni leo - EDUSPORTSTZ

Latest

MESSI ALIPOISAIDIA ARGENTINA KUTWAA TAJI WEMBLEY -Michezoni leo

Pakua App ya 'EDUSPORTSTZ NEWS' Uweze kufurahia Habari zote za Mapenzi; Udaku, Ajira na Michezo kila siku Ipo Google Playstore, Kwa Ku BONYEZA INSTALL Ili KUIDOWNLOAD Kwenye Simu yako nakutasoma habari zote hata kama hauna MB

NAHODHA Lionel Messi akiwa ameshika Kombe la Finalissima akifurahia na wachezaji wenzake baada ya kuwafunga mabingwa wa Ulaya, Italia mabao 3-0 usiku wa Jumatano Uwanja wa Wembley Jijini London, England.
Mabao ya mabingwa hao wa Amerika Kusini yamefungwa na Lautaro Martinez, Angel Di Maria na Paulo Dybala, michuano hiyo ikirejea tena baada ya kufanyika mara ya mwisho mwaka 1993.




Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz