Marioo "Wimbo Wangu Unaofuata Kutoka Kwenye Album Yangu Utakua Wimbo wa Taifa Kama Kawaida yangu" - EDUSPORTSTZ

Latest

Marioo "Wimbo Wangu Unaofuata Kutoka Kwenye Album Yangu Utakua Wimbo wa Taifa Kama Kawaida yangu"



Huenda hit maker wa ngoma ya Beer tamu @marioo_tz amesikia maoni ya mbunge wa jimbo la morogoro kusini mashariki @babutale kuhusu wimbo wake wa 'Mama Amina' na kuamua kuchapisha ujumbe katika ukurasa wake wa instagram unaotafsirika;

"Wimbo wangu unaofuata kutoka kwenye Album yangu utakua wimbo wa taifa kama kawaida yangu๐ŸŒ๐Ÿ”ฅ Niamini mimi"

Ujumbe unaohisiwa huenda ni jibu kwa mbunge huyo aliyehoji juu ya wimbo wa Mama Amina kushindwa kufungiwa na Baraza la Sanaa Tanzania BASATA.






Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz