KILIMANJARO QUEENS YAICHAPA ZANZIBAR QUEENS 12-0 CHALLENGE -Michezoni leo - EDUSPORTSTZ

Latest

KILIMANJARO QUEENS YAICHAPA ZANZIBAR QUEENS 12-0 CHALLENGE -Michezoni leo

Pakua App ya 'EDUSPORTSTZ NEWS' Uweze kufurahia Habari zote za Mapenzi; Udaku, Ajira na Michezo kila siku Ipo Google Playstore, Kwa Ku BONYEZA INSTALL Ili KUIDOWNLOAD Kwenye Simu yako nakutasoma habari zote hata kama hauna MB

TIMU za taifa za Tanzania Bara, Kilimanjaro Queens imefanikiwa kwenda Nusu Fainali ya michuano ya CECAFA Challenge baada ya ushindi wa 12-0 dhidi ya Zanzibar, Zanzibar Queens jana Uwanja wa FUFA Technical Centre, Njeru katika mechi ya mwisho za Kundi B. 
Mabao ya Kilimanjaro Queens yalifungwa na Opa Clement manne, Janeth Pangamwene, Diana Msewa, Enekia Kasonga ‘Lunyamila’, Mwanahamisi Omar ‘Gaucho’ matatu, Protas Mbunda na Ester Mabanza.
Mechi nyingine ya mwisho ya Kundi B, Ethiopia iliichapa Sudan Kusini 4-0 hapo hapo FTC Njeru.
Sasa Kilimanjaro Queens itamenyana na Burundi katika Nusu Fainali Alhamisi, wakati Ethiopia itawavaa wenyeji, Uganda, wakati Zanzibar na Sudan Kusini zinaungana na Rwanda na Djibouti za Kundi A kuyaaga mashindano hayo.






Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz