COSTA RICA YAKAMILISHA WASHIRIKI KOMBE LA DUNIA-Michezoni leo - EDUSPORTSTZ

Latest

COSTA RICA YAKAMILISHA WASHIRIKI KOMBE LA DUNIA-Michezoni leo

Pakua App ya 'EDUSPORTSTZ NEWS' Uweze kufurahia Habari zote za Mapenzi; Udaku, Ajira na Michezo kila siku Ipo Google Playstore, Kwa Ku BONYEZA INSTALL Ili KUIDOWNLOAD Kwenye Simu yako nakutasoma habari zote hata kama hauna MB

MASHABIKI wa Costa Rican waliingia mitaani kushangilia baada ya Los Ticos kukamilisha idadi ya timu 32 za Kombe la Dunia kufuatia ushindi wa 1-0 dhidi ya New Zealand 1-0 kwenye intercontinental playoff ya mwisho.
Bao la dakika ya tatu la Joel Campbell na saves nzuri ya kipa Keylor Navas ambaye pia ni Nahodha wa timu ndio kwa pamoja ndio viliwapa tiketi ya tatu mfululizo ya World Cup na sasa wanakwenda kwenye kundi gumu, E ambako watakuwa na Hispania, Japan na Ujerumani
Na Rais wa FIFA, Gianni Infantino amezipongeza timu 32 zilizofuzu World Cup ya Qatar itakayoanza mwei Novemba 21 kwa mabingwa wa Afrika, Senegal kumenyana na Uholanzi.




Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz