TWIGA STARS KUANZA NA SUDAN KUSINI CECAFA CHALLENGE-Michezoni leo - EDUSPORTSTZ

Latest

TWIGA STARS KUANZA NA SUDAN KUSINI CECAFA CHALLENGE-Michezoni leo

Pakua App ya 'EDUSPORTSTZ NEWS' Uweze kufurahia Habari zote za Mapenzi; Udaku, Ajira na Michezo kila siku Ipo Google Playstore, Kwa Ku BONYEZA INSTALL Ili KUIDOWNLOAD Kwenye Simu yako nakutasoma habari zote hata kama hauna MB

TANZANIA itafungua dimba na Sudan Kusini Juni 2 katika mchezo wa Kundi B Kombe la Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati, CECAFA Challenge Uwanja wa FTC Njeru mjini Kampala, Uganda.
Mechi ya pili ya Twiga Stars itafuatia Juni 4 dhidi ya Ethiopia, kabla ya kukamilisha mechi za Kundi hilo Juni 6 kwa kumenyana na ndugu zao, Zanzibar hapo hapo FTC Njeru.
Nusu Fainali zitafuatia Juni 9 na Fainali pamoja na mechi ya kusaka mshindi wa tatu ni Juni 11 hapo hapo FTC Njeru.







Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz