CHELSEA YALAZIMISHWA SARE 1-1 NA LEICESTER DARAJANI-Michezoni leo - EDUSPORTSTZ

Latest

CHELSEA YALAZIMISHWA SARE 1-1 NA LEICESTER DARAJANI-Michezoni leo

Pakua App ya 'EDUSPORTSTZ NEWS' Uweze kufurahia Habari zote za Mapenzi; Udaku, Ajira na Michezo kila siku Ipo Google Playstore, Kwa Ku BONYEZA INSTALL Ili KUIDOWNLOAD Kwenye Simu yako nakutasoma habari zote hata kama hauna MB

WENYEJI, Chelsea wamelazimishwa sare ya 1-1 na Leicester City katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa kuamkia leo Uwanja wa Stamford Bridge Jijini London.
Leicester City ilitangulia na bao la James Maddison dakika ya sita, kabla ya Marcos Alonso kuisawazishia Chelsea dakika ya 34.
Kwa sare hiyo, Chelsea inafikisha pointi 71, ingawa inabaki nafasi ya tatu ikiizidi pointi tatu Tottenham Hotspur baada ya wote kucheza mechi 37, wakati Leicester City inafikisha pointi 49 za mechi 37 pia nafasi ya tisa.




Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz