REAL MADRID YATINGA FAINALI LIGI YA MABINGWA-Michezoni leo - EDUSPORTSTZ

Latest

REAL MADRID YATINGA FAINALI LIGI YA MABINGWA-Michezoni leo

Pakua App ya 'EDUSPORTSTZ NEWS' Uweze kufurahia Habari zote za Mapenzi; Udaku, Ajira na Michezo kila siku Ipo Google Playstore, Kwa Ku BONYEZA INSTALL Ili KUIDOWNLOAD Kwenye Simu yako nakutasoma habari zote hata kama hauna MB

TIMU ya Real Madrid imefanikiwa kwenda Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya ushindi wa 3-1 dhidi ya Manchester City usiku wa Jumatano Uwanja wa Santiago Bernabéu Jijini Madrid nchini Hispania.
Dakika 90 zilimaliza la Real wakishinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Rodrygo yote dakika ya 90 na 90 na ushei baada ya Man City kutangulia kwa bao la Riyad Mahrez dakika ya 73.
Matokeo ya jumla yakawa 5-5 kufuatia Man City kushinda 3-2 kwenye mechi ya kwanza Uwanja wa Etihad wiki iliyopita, hivyo mchezo ukahamia kwenye dakika 30 za nyongeza na ndipo Mfaransa, Karim Benzema amáinela shujaa wa Bernabeu kwa mara nyingine tena kwa bao lake la  penalti dakika ya 95 kufuatia yeye mwenyewe kuchezwa vibaya na Ruben Dias.




Kwa ushindi huo wa jumla wa 6-5, Real Madrid inakwenda Fainali itakayopigwa Mei 28 Uwanja wa Stade de France Jijini Paris na itakutana na timu nyingine ya England, Liverpool ambayo imeitoa Villarreal ya Hispania pia.




Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz