MBAPPE AAMUA KUBAKI PSG HADI 2025-Michezoni leo

Pakua App ya 'EDUSPORTSTZ NEWS' Uweze kufurahia Habari zote za Mapenzi; Udaku, Ajira na Michezo kila siku Ipo Google Playstore, Kwa Ku BONYEZA INSTALL Ili KUIDOWNLOAD Kwenye Simu yako nakutasoma habari zote hata kama hauna MB

Mshambuliaji wa Kimataifa wa Ufaransa, Kylian Mbappe amesaini mkataba mpya wa kuendelea na kazi Paris Saint-Germain hadi mwaka 2025.
Pichani, Mbappe akiwa na Rais wa PSG, Nasser Al-Khelaifi kabla ya mechi na Metz.


0 Comments

Post a Comment

Post a Comment (0)

Previous Post Next Post