Kurejea Kwa Bongo Muvi Kupitia Tamthilia, Wamejifunza au Watarudia Kule Kule? - EDUSPORTSTZ

Latest

Kurejea Kwa Bongo Muvi Kupitia Tamthilia, Wamejifunza au Watarudia Kule Kule?



Kwa muda sasa ni kama nimegundua kuibuka upywa kwa ushabiki wa kazi za nyumbani haswa kupitia tamthiliya mbali mbali kwenye TV.

Ni Muda mrefu sana sijaona Watu wamekaa kuangalia Kazi za nyumbani kama ninavyoshuhudia sasa maeneo mbalimbali, kuanzia majumbani hadi kwenye mabaa huko mitaani.

Swali la kujiuliza ni je, hizi ni juhudi za Wana tasnia au ni kuwapongeza juhudi za stesheni za TV kutoa kipaumbele kwa kazi za nyumbani na kupelekea Jamii kuvutika kuangalia?.

Swali lingine la kujiuliza ni je, Wana tasnia wamejifunza kutoka makosa waliyoyafanya awali yaliyosababisha Jamii kuipotezea Bongo muvi, au tutarajie mazoea yale yale na baada ya muda Watanzania watachoka tena na kuipa kisogo tasnia?.

Ni nini cha kuwashauri Watayarishaji na Wasanii?.






Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz