King @officialalikiba ameshinda tuzo ya mtunzi bora wa melodi na mashahiri kupitia wimbo wake wa UTU. Jukwaani amepanda @yogobeats na @k2ga_tz kumuwakilisha Alikiba ambaye yupo nje ya nchi
King @officialalikiba ameshinda tuzo ya mtunzi bora wa melodi na mashahiri kupitia wimbo wake wa UTU. Jukwaani amepanda @yogobeats na @k2ga_tz kumuwakilisha Alikiba ambaye yupo nje ya nchi
No comments:
Post a Comment