Jamal April wa The Story Book Aweka Wazi Mahusiano yake ya Kimapenzi na Mtangazaji wa Wasafi - EDUSPORTSTZ

Latest

Jamal April wa The Story Book Aweka Wazi Mahusiano yake ya Kimapenzi na Mtangazaji wa Wasafi


Unakumbuka kwenye red carpet ya Usiku wa Mahaba Ndi Ndi Ndii meneja wa WcB wasafi @sallam_sk alitutajia herufi ya J' kama herufi ya kwanza ya jina la mpenzi wa mtangazaji @ammygal_tz kutoka wasafi media..?

Sasa taarifa ikufikie kuwa watangazaji wawii kutoka Wasafi media @jamal_april ambaye ni mtangazaji wa kipindi maarufu cha #TheStoryBook kupitia @wasafitv na mfanyakazi mwenzake @ammygal_tz ambaye ni mtangazaji wa kipindi cha #TheSwitch kupitia @wasafifm ni kama ameweka wazi kuhusu mahusiano yao ya kimapenzi ambapo kupitia kipindi cha #refresh ya wasafi tv @jamal_april mesema pia kwa uwezo wa Mungu huenda mwaka huu akafunga ndoa






Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz