Hamisa Mobetto Habari Nyingine..Rapper French Montana wa Marekani Amemfollow - EDUSPORTSTZ

Latest

Hamisa Mobetto Habari Nyingine..Rapper French Montana wa Marekani Amemfollow


Ukiachana na mambo mengine bado mambo yanamuendea vyema supastaa Hamisa Mobetto.

Hii ni baada ya rapper mkali na kutoka Marekani, French Montana leo alipoamua kum-follow hit maker huyo wa ‘Ex-Wangu Remix’ kupitia mtandao wa kijamii wa Instagram.

Mbali na mrembo Hamisa Mobetto kuhusishwa kuwa penzini na msanii toka Marekani Rick Ross, baada ya Novemba 25, 2021 kuonekana wakiwa katika falme za kiarabu Dubai wakila bata pamoja, huu ni muendelezo mwingine wa #Hamisa kuzidi ku-shine kimataifa zaidi na kazi zake kufika mbali.






Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz