Ray C Atema Nyongo "Hisia Zangu Sio Nzuri Bifu ya Mondi na Harmonize Itasababisha Mauti" - EDUSPORTSTZ

Latest

Ray C Atema Nyongo "Hisia Zangu Sio Nzuri Bifu ya Mondi na Harmonize Itasababisha Mauti"


Msanii mkongwe wa muziki wa Bongo Fleva @rayctanzania ameandika ujumbe kupitia Instastory yake kuwa mwisho wa msuguano kati ya #Diamond na #Harmonize unaweza kuwa mbaya kama mambo yasipotatuliwa mapema

Ray C ameandika kuwa Watanzania hatupaswi kufurahia hili kama kweli tunawapenda wasanii hao. Hii ni vita kubwa sana ya kuharibiana Brand




HABARI KAMA  HIZI UNAZIPATA KUTOKA APP YA UDAKU SPECIAL PEKEE  DOWNLOAD  HAPA UWE NAYO KWENYE SIMU YAKO


Msanii huyo ameendelea kwa kuwaomba viongozi wa serikali waingilie kati na kutatua tofauti ambazo zipo kati ya wawili hao




Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz